Kujiandaa kufirwa ki Swazi..

Blog nyingi zinatufundisha namna ya kujisafisha kwaajili ya kufirwa au kutombwa kizungu zaidi.. ooh, mambo ya kununua Douches, Sijui ninja nini online.. chemsha maji. Blah blah nyingi Sana.

mimi ntakufundisha namna tunavyo jisafisha mkundu kiswazi na mfiraji hasikii hata harufu ya mavi akikutia.

cha muhimu cha kwanza ni uwe unabomba la maji NDANI YA CHOO.. kama Unaishi Nyumba ambayo Hamna maji ya Dawasco ndani, Naomba uuze smartphone au Computer unayotumia kusoma hii blog uhamie Nyumba au Gesti ya kueleweka

kama una choo ya kisasa, Basi Fundi anaweza kua kakufungia ule mpira wa maji pembeni ya choo, unalotoa maji kwa kasi!

bomba kwa kawaida ni kama koki, tumia nguvu kidogo ligeuze juu chini, Yani sasa ule mdomo wa maji uangalie juu. Kisha lengesha ki Mkundu Chako hapo hadi ikutane Kabila na Bomba kisha fungua maji kwa kasi inayo kuridhisha wewe.

maji yatajaa mkunduni (rectum), utahisi kama yanaingia tumboni (colon) ukihisi hivyo Funga maji na chuchumaa kwenye choo.

usikae na hayo maji ndani yako Sana, jiminye kama unakunya yatoe maji yote kwa fosi. Rudia kujijaza maji na kuyatoa, Mara kadhaa. Kwanza yatatoka na mavi yaliyobaki Baki huko ndani yako, kisha yatatoka maji yakiwa yamechafuka kama tope..  endelea kurudia kujijaza maji na kuyaminya yatoke hadi maji yatakapo toka masafiiiiii..

ukisha safisha mkundu wako vizuri unaweza kuendelea na mpenzi wako. Kama ngono ni baadae, unaweza jipaka mafuta humo ndani kidooooogo ili kulainisha.

KONDOMU NI MUHIMU KWENYE KUJAMIIANA, MSISAHAU.